1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mvua kubwa zanyesha visiwani Comoro

27 Aprili 2012

Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika visiwa vya Comoro kwa karibu wiki nzima, zimesababisha uharibifu mkubwa ikiwa ni pamoja na miundo mbinu.

https://p.dw.com/p/14m9E
Kisiwa cha Comoro kilichokumbwa na mvua kubwa
Kisiwa cha Comoro kilichokumbwa na mvua kubwaPicha: AP

Pia visima vya kuhifadhia mafuta vimeingia maji na kusababisha uhaba wa mafuta na matatizo ya usafiri. Maafisa wanasema zaidi ya watu 11,000 wamepoteza takriban kila kitu .huku hali ikitajwa kuwa mbaya zaidi katika kisiwa kidogo cha Moheli ambako baadhi ya vijiji vimezungukwa na maji.

Mohamed Abdulrahman mezungumza na waziri wa ndani wa visiwa hivyo Ahmed Abdullah na kwanza anasimulia juu ya hali ilivyo wakati huu.

(Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)

Mahojiano: Mohammed Abdul-Rahman/Waziri Ahmed Abdullah

Mhariri: Mohammed Khelef