Mungiki wazusha taharuki Kenya05.06.20075 Juni 2007Nchini Kenya raia wameingiwa tumbo Joto kufuatia mauaji yanayofanywa na kundi la Mungikihttps://p.dw.com/p/CB3nWakenya wahangaishwa na MungikiPicha: picture-alliance / Helga Lade FoMatangazoWatu wasiopungua 20 wanaoshukiwa kuwa wafuasi wa kundi haramu la Mungiki wameuwawa na Polisi Mathare Nairobi Kenya.