Msimamo wa makanisa kuhusu sheria mpya ya ndoa nchini Uganda
10 Aprili 2007
Katika kuadhimisha sikukuu ya pasaka nchini Uganda,viongozi wa madhehebu ya kikatoliki na madhehebu ya kiprotestanti walilaani vitendo vya uzinifu, na kuitaka serikali iheshimu yalioandikwa katika kitabu cha Biblia.