Mkutano wa SADC wafanyika Zanzibar,Tanzania
28 Julai 2008Matangazo
Mkutano huo unalenga kuweka mikakakti ya harakati za kusimamia uchaguzi ili kudumisha demokrasia.Suala la uchaguzi wa Zimbabwe lilipewa kipa umbele kwenye kikao hicho kilichojadilia changamoto na kutathmini mafanikio.
Mwandishi wetu Salma Said alihudhuria mkutano huo na kuandaa taarifa ifuatayo.