1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mkutano wa mawaziri wa Ulinzi wa Maziwa Makuu

18 Aprili 2007

Mawaziri wa ulinzi na wakuu kutoka makao makuu ya kijeshi ya nchini Burundi, Rwanda, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na Uganda wako mjini Bujumbura,Burundi kwa shabaha ya kuanzisha mikakati ya pamoja ya kupambana na makundi yanayoweza kuhatarisha usalama katika nchi hizi.

https://p.dw.com/p/CHG0
Mwandishi wetu Amida Issa kutoka Bujumbura ana ripoti kamili.