Nchini Tanzania rais Jakaya Mrisho Kikwete katika mkutano wake wa kila mwezi kuhusu taifa, amezungumza na wahariri mbali mbali wa vyombo vya habari nchini humo. Mkutano huo umegusia juu ya masuala mbali mbali kuanzia siasa hadi uchumi.
https://p.dw.com/p/CHKs
Matangazo
Saumu Mwasimba alipata fursa ya kuzungumza na mwandishi msaidizi wa rais, Premi Kibanga ambaye anafahamisha zaidi juu ya yale aliyoyazungumza rais katika kikao hicho.