Mkutano wa Jumuiya ya Madola ya Commonwealth pamoja na mashirika ya Utangazaji jijini Nairobi
21 Februari 2007
Waandishi habari na waakilishi wa jumuiya na mashirika ya utangazaji ya nchi wanachama wa jumuiya ya madola ya Commondwealth, wanakutaka kwa mkutano wa siku tatu mjini Nairobi-Kenya, kuzungumzia juu ya uhuru wa vyombo vya habari, demokrasia na rushwa katika taaluma ya uandishi habari. Mwandishi wetu Mwai Gikonyo anaripoti kutoka Nairobi.