Mjadala umeshika kasi katika mji wa Mombasa kuhusu kujitenga kwa Pwani ya Kenya huku mchakato mzima wa kufanikisha ajenda hiyo ukizinduliwa na viongozi wa kanda hiyo. Ripoti ya Eric Ponda inaangazia suala hilo na utata linalouibua.
https://p.dw.com/p/2nCVP
Matangazo
Suala la kujitenga kwa ukanda huo wa Pwani limezua mjadala mkubwa sio tu katika ukanda huo bali taifa la Kenya kwa Ujumla., Hii si mara ya Kwanza, gumzo kama hilo kuyumbisha siasa za taifa hilo. Je safari hii mjadala huu utachukua muelekeo gani?