1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mjadala wa kujitenga wahanikiza pwani ya Kenya

Iddi Ssessanga
7 Novemba 2017

Mjadala umeshika kasi katika mji wa Mombasa kuhusu kujitenga kwa Pwani ya Kenya huku mchakato mzima wa kufanikisha ajenda hiyo ukizinduliwa na viongozi wa kanda hiyo. Ripoti ya Eric Ponda inaangazia suala hilo na utata linalouibua.

https://p.dw.com/p/2nCVP

Suala la kujitenga kwa ukanda huo wa Pwani limezua mjadala mkubwa sio tu katika ukanda huo  bali taifa la Kenya kwa Ujumla., Hii si mara ya Kwanza, gumzo kama hilo kuyumbisha siasa za taifa hilo. Je safari hii mjadala huu utachukua muelekeo gani?