Wakati Rais Muhammadu Buhari alipopata ushindi usiotarajiwa katika uchaguzi wa rais, Nigeria ilikuwa inakabiliwa na msururu wa matatizo, yakiwemo ugaidi kutoka kundi la Boko Haram, mgogoro katika eneo lenye utajiri wa mafuta la Niger Delta na rushwa. Mapambano ya Jenerali huyu wa zamanib dhidi ya ugaidi yamefika wapi?