Miaka 52 ya Uhuru wa iliyokuwa Tanganyika
9 Desemba 2013Matangazo
Sudi Mnette amezungumza na Profesa Humphrey Moshi kutoka Idara ya Uchumi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambaye kwanza anatoa tathimini yake kuhusu tofauti kati ya wakati ule na sasa katika kipindi hiki miaka hii 52 ya uhuru. Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikion hapo chini.
Mwandishi: Sudi Mnette
Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman