Miaka 48 ya Uhuru wa Kenya
12 Desemba 2011Matangazo
Aidha Kenya pia imepeleka wanajeshi wake nchini Somalia kukabiliana na kundi la kigaidi la Al-Shabaab.Je miaka 48 ya Uhuru inatathminiwa vipi na wanahistoria. Saumu Mwasimba amezungumza na mwanahistoria na mchambuzi wa masuala ya kisiasa Profesa Aidha Salim kutoka Nairobi.
Mwandishi Saumu Mwasimba
Mhariri: Miraji Othman