Miaka 20 ya amani Msumbiji
4 Oktoba 2012Matangazo
Daniel Gakuba amezungumza na Jenerali Ulimwengu, mwandishi wa habari nchini Tanzania ambaye alifuatilia kwa karibu mchakato huo, na kwanza alimuuliza nini cha kusherehekea leo.
(Kusikiliza mazungumzo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi: Daniel Gakuba
Mhariri:Josephat Charo