1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mgomo wa Madaktari nchini Tanzania

12 Julai 2012

Madaktari nchini Tanzania wanatarajiwa kuandaa mkutano ili kujadili mwelekeo wa mgomo wao unaoendelea kote nchini humo.

https://p.dw.com/p/15Vnr
Mgonjwa anashughulikiwa na mwenyeji wake.
Mgonjwa anashughulikiwa na mwenyeji wake.Picha: DW

Hali bado ni tete hasa baada ya Rais wa chama cha madaktari Dk. Namala Mkopi kufikishwa mahakamani kwa madai ya kuchochea mgomo, na serikali kufuta leseni za madaktari walioko katika mafunzo 390. Bruce Amani amezungumza na Katibu wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania, Dr. Edwin Chitage ambaye kwanza ameelezea jinsi hali ilivyo.

(Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)

Mwandishi: Bruce Amani

Mhariri: Mohamed Abdulrahman