Mgogoro wa Misitu ya Mau nchini Kenya
21 Agosti 2009Matangazo
Tayari serikali imeanza shughuli ya kuhamisha zaidi ya familia elfu kumi zinazoishi kandokando ya Msitu wa Marmanet wilayani Laikipia Magharibi.
Mwandishi wetu wa Nairobi Alfred Kiti anayo maelezo kamili .
Mtayarishaji:Alfred Kiti
Mpitiaji: Thelma Mwadzaya