Mchakato wa kumtafuta mtetezi wa Urais visiwani Zanzibar
5 Julai 2010Matangazo
Kati ya majina hayo kuna waziri kiongozi wa zamani, Dr. Mohammed Gharib Bilal; waziri kiongozi wa sasa, Shamsi Nahodha; makamo wa waziri kiongozi wa sasa, Ali Juma Shamhuna, na pia balozi Ali Karume, ndugu wa rais wa sasa wa Visiwani zanzibar, Amani Karume.
Othman Miraji punde amezungumza na Saleh Ferouz, naibu katibu mkuu wa Chama cha CCM upande wa Zanzibar, na alimuuliza kuhusu mchakato huo wa kumtafuta mtetezi wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM...
Mhariri:Mwadzaya,Thelma