Mayi Mayi yaachia watoto
18 Novemba 2007Matangazo
KINSHASA:
Shirika la UM linalowahudumia watoto-UNICEF limearifu kuwa zaidi ya watoto 200 wameachwa huru huko Jamhuri ya kidemokrasi ya Kongo.Watoto hao walikuwa mikononi mwa waasi wa Mayi Mayi huko kaskazini mwa Kivu.Watoto wengine zaidi bado wamo mikononi mwa Mayi Mayi-kwa muujibu wa shirika la UNICEF.