1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya mchana 22.10.2017

Yusra Buwayhid
22 Oktoba 2017

Viongozi wa Catalonia wapinga hatua za Rais Mariano Rajoy za kulizuia jimbo la Cataloni kujitenga. Waziri wa mambo ya nje wa Marekani, Rex Tillerson, anatarajiwa kuanzisha mazungumzo mapya ya kuutatua mzozo kati ya Saudi Arabia na Qatar. Dhoruba zapiga Japan siku ya uchaguzi.

https://p.dw.com/p/2mJMS