Tuliyo nayo mchana huu: Idadi ya vifo vya wanajeshi waliouawa katika shambulizi kwenye kambi moja nchini Afghanistan imefikia 140. Maandamano ya kukipinga chama cha AfD yafanyika katika mji wa Cologne Ujerumani. Na Ufaransa yaimarisha ulinzi kuelekea uchaguzi wa duru ya kwanza hapo kesho Jumapili