1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana 16.12.2017

Caro Robi
16 Desemba 2017

Marekani kufufua mazungumzo ya amani kati ya Israel na Palestina licha ya ghadhabu kutokana na uamuzi wa Rais Donald Trump kutambua Jerusalem kuwa mji mkuu wa Israel//Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Rex Tillerson, ameiomba Korea Kaskazini kupunguza majaribio ya silaha za kinyuklia kuandaa mazingira muafaka ya mazungumzo//Chama tawala Afrika Kusini ANC kumchagua kiongozi mpya

https://p.dw.com/p/2pULh