Kwenye matangazo yetu leo mchana:Kompyuta za hospitali katika jiji la London nchini Uingereza zashambuliwa kwa virusi. Rais wa Marekani Donald Trump amtishia aliyekuwa mkurugenzi wa shirika la upelelezi FBI aliyemfuta kazi. Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yakabiliwa na mripuko mpya wa ugonjwa wa Ebola