Tuliyo nayo ni pamoja na : Raia wa Marekani ni miongoni mwa waliouawa katika shambulizi lililofanyika katika hoteli mjini Bamako nchini Mali// Baraza la usalama la umoja wa mataifa lapitisha azimio kulaani kundi la dola la kiisilamu// Saudi Arabia kuyakutanisha makundi yanayopambana dhidi ya serikali nchini Syria.