1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni 11.12.2016

Zainab Aziz
11 Desemba 2016

Taarifa tulizokuletea jioni ya leo ni pamoja na: Waziri wa mambo ya nje wa Italia ateuliwa kuwa waziri mkuu mpya//Zaidi ya watu 100 wamekufa nchini Nigeria baada ya paa la kanisa moja kuanguka//Serikali ya Uturuki yatangaza maombolezo ya taifa baada ya watu kadhaa kuuwawa katika mashambulio ya mabomu

https://p.dw.com/p/2U6nB