Kansela Angela Merkel asema ana imani kwamba watafikia makubaliano ya kuunda serikali na chama cha SPD. Ufaransa yaadhimisha miaka 3 tangu kutokea mashambulizi ya kigaidi kwenye ofisi za jarida la 'Charlie Hebdo'. Waziri mkuu wa Uingereza Theresa May atarajiwa kufanya mabadiliko katika baraza lake la mawaziri.