Tuliyokuandalia katika matangazo ya jioni//Pande mbili hasimu zafikia makubaliano Libya//Uchaguzi muhimu wa majimbo waendelea nchini Ufaransa, wiki kadhaa baada ya shambulio la kigaidi mjini Paris// Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu asisitiza nchi yake haitogeuka kuwa taifa la Wayahudi na Warabu.