1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni 02.09.2017

2 Septemba 2017

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesema nchi hiyo ina tatizo na idara ya mahakama ambalo linapaswa kurekebishwa//Kansela Angela Merkel wa Ujerumani, na mpinzani wake Martin Schulz, wanajiandaa kushiriki mdahalo wa televisheni kabla ya uchaguzi baadae mwezi huu//Urusi yamuita balozi wa Marekani mjini Moscow ili kumkabidhi hati ya kupinga ukaguzi wa eneo la biashara la Urusi mjini Washington.

https://p.dw.com/p/2jGGz