Rais Emmanuel Macron, anakabiliwa na changamoto za kila aina anapoadhimisha siku 100 tangu aingie madarakani. Kwa namna nyingi, Rais Donald Trump wa Marekani na kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jung-Un wanaweza kuwa tafauti, lakini kuna mengi wanayoweza kufanana. Kundi la Hezbollah na washirika wake wanaishinikiza serikali ya Lebanon kurejesha tena uhusiano na serikali ya Syria.