Miongoni mwa taarifa: Makubaliano mapya ya kusitisha mapigano nchini Yemen yanatarajiwa kuanza kutekelezwa usiku wa Jumapili hii// Sekta ya Elimu nchini Kenya itafanyiwa marekebisho makubwa endapo pendekezo la kuondoa mfumo uliopo wa elimu wa 8-8-4 na kuwekwa mfumo mpya wa 2-6-6-4 litakubaliwa.