Maoni: Uwiano baina ya kuwahesabu watu na kuwaletea manufaa
10 Septemba 2012Matangazo
Katika kipindi hiki cha Maoni kutoka Idhaa ya Kiswahili ya DW, Othman Miraji anajadiliana na wataalamu na wanaharataki kuhusu nafasi ya sensa katika maisha ya watu.
Kusikiliza kipindi hiki, tafadhali bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mtayarishaji/Muongozaji: Othman Miraji
Mhariri: Mohammed Abdulrahman