Mamia ya waandishi wa habari nchini Kenya leo asubuhi walishiriki katika maandamano makubwa katikati ya mji mkuu wa Nairobi kupinga mswaada wa sheria ya kudhibiti vyombo vya habari nchini humo,lakini serikali sasa imebatilisha msimamo wake kuhusu mswaada huo wa sheria.
https://p.dw.com/p/CH9Z
Matangazo
Mwandishi wetu Mwai Gikonyo ametutumia taarifa ifuatayo kutoka Nairobi.