1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maandamano dhidi ya Rais Kabila yasababisha vifo vya watu 47

John Juma
20 Machi 2018

Watu 47 wameuawa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kufuatia maandamano ambayo yamedumu kwa mwaka mmoja dhidi ya Rais Joseph Kabila. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti ya Umoja wa Mataifa. Ripoti hiyo inawashutumu maafisa wa usalama wa Congo kwa kutumia nguvu zaidi dhidi ya waandamanaji

https://p.dw.com/p/2uehK