1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kwa nini uharamia haumaliziki kwenye pwani ya Somalia?

24 Oktoba 2011

Licha ya uharamia kuwa suala la kimataifa na ambalo limezikusanya nguvu za pamoja za mataifa mbalimbali duniani, yakiwamo yenye nguvu sana, bado limeendelea kusumbua wafanyabiashara, wasafiri na serikali duniani.

https://p.dw.com/p/Rsfn
Washukiwa wa uharamia wakiwa mahakamani.
Washukiwa wa uharamia wakiwa mahakamani.Picha: dapd
Othman Miraji anatathmini sababu, muendelezo na ugumu wa uharamia na vita dhidi yake kwenye Pembe ya Afrika.