1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kujiuzulu kwa Rais wa Hungary K. Novak

14 Februari 2024

Jumamosi ya Februari 10, 2024- Rais wa Hungary Katalin Novak alitangaza uamuzi wake wa kujiuzulu kufuatia uamuzi wa kutoa msamaha kwa mtu aliyekuwa jela kwa kosa la kukutwa na hatia ya kuficha taarifa muhimu kwenye kesi ya unyanyasaji wa kingono kwa watoto. Katika kipindi cha Mwangaza wa Ulaya, tunaangazia sakata hili lililomfanya Rais Novak, rais wa kwanza mwanake wa Hungary kujiuzulu.

https://p.dw.com/p/4cPD3