Kuathirika kwa Ukimwi si mwisho wa maisha
30 Novemba 2011Matangazo
Katika makala hii ya Mtu na Afya, mwandishi wetu wa Nairobi, Alfred Kiti, anazungumzia jitihada za wanawake nchini Kenya kupigania utu na heshima yao hata kwa wale walioathirika na virusi vya Ukimwi.
Makala: Alfred Kiti
Mhariri: Othman Miraji