Kongamano la Wanasheria wa Jumuiya ya Madola, Commonwealth mjini Nairobi
11 Septemba 2007Matangazo
Zaidi ya wanasheria 2000 kutoka mataifa 53 ya jumuiya ya madola wanahudhuria kongamano hilo, ambapo wanajadili masuala yanayohusika na haki za binaadamu, utandawazi, janga la ukimwi na utatuzi wa mizozo baina ya nchi wanachama.
Mwandishi wetu kutoka Kenya Mwai Gikonyo na taarifa zaidi kutoka Nairobi.