Kongamano la uchumi laanza KigaliTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSylivanus Karemera11.05.201611 Mei 2016Kongamano la kimataifa kuhusu uchumu wa Afrika limeanza mjini Kigali, Rwanda. Wajumbe kutoka sekta za kisiasa na kiuchumi, wanajadili namna gani Afrika inavyoweza kuwa na sauti kwenye uwanja wa kimataifa kiuchumi.https://p.dw.com/p/1IlsHMatangazo