1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kofi Annan

Kofi Annan alikuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuanzia mwaka 1997 hadi 2006. Mwaka 2001, alitunukiwa Nishani ya Amani ya Nobel pamoja na Umoja wa Mataifa.