Kenya: Uchaguzi wa urais kufanyika Machi 2013
31 Julai 2012Matangazo
Uamuzi huo wa mahakama unathibitisha uamuzi uliotolewa hapo kabla na mahakama ya chini nchini humo. Sekione Kitojo alizungumza na Mkurugenzi wa kituo cha sheria nchini Kenya Pricilia Nyokabi , ambaye kwanza alitaka kujua kwanini tarehe hii ya uchaguzi inapingwa na makundi ya haki za binadamu.
(Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi : Sekione Kitojo
Mhariri: Mohammed Abdul Rahman