Kenya: Sheikh Mohamed Dor afikishwa mahakamani Mombasa
18 Oktoba 2012Matangazo
Dor ambaye alikamatwa hapo haja mjini Nairobi, alisafirishwa jana jioni chini ya ulinzi wa maafisa wa Polisi hadi mji huo wa Bandari kujibu mashtaka hayo. Mwandishi wetu mjini Mombasa Eric Ponda ana taarifa kamili.
(Kusikiliza ripoti bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi Eric Ponda
Mhariri:Josephat Charo