Kenya: Kujiuzulu kwa Waziri wa mambo ya kigeni wa Kenya, Moses Wetangula
27 Oktoba 2010Matangazo
Bwana Wetangula alisema amefanya uamuzi wa kibinafsi wa kujiweka kando kama waziri wa mambo ya kigeni ili kutoa nafasi kwa wale wanaomuandama, na pia kutoa nafasi kwa uchunguzi ufanyike kutokana na tuhuma hizo. Alihakikisha kwamba atarejea katika baraza la mawaziri punde pale uchunguzi utkapokamilika, kwa vile anajua yeye hana makosa.
Punde hivi Othman Miraji alimuuliza kwa njia ya simu waziri mwenzake, Profesa Anyang' Nyong'o, wa huduma za afya, kuhusu hatua ya Moses Wetangula...
Mwandishi: Othman Miraji
Mpitiaji: Josephat Charo