Kenya: Ghasia zaibuka mjini Mombasa
3 Februari 2014Matangazo
Watu watatu akiwemo afisa mmoja wa Polisi yahofiwa waliuwawa wakati wa ghasia hizo zilizozuka baada ya Polisi kuuvamia Msikiti mmoja na kuvunja kongamano la wafuasi wa dini ya Kiislamu,kwa madai kwamba kongamano hilo lililenga kuendeleza harakati za kundi la Alshabab.
Kutoka mjini Mombasa mwandishi wetu Eric Ponda ametukusanyia taarifa ifuatayo kuhusu hali ilivyo sasa. Kusikiliza taarifa hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mwandishi: Eric Ponda
Mhariri:Mohammed AbdulRahman