1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

KASSEL:Rais H.Köhler afungua maonyesho ya sanaa

17 Juni 2007
https://p.dw.com/p/CBr7

Rais Horst Köhler wa Ujerumani amefungua rasmi maonyesho ya sanaa katika mji wa Kassel kaskazini magharini mwa Ujerumani ambapo tuko za sanaa kutoka Afrika pia zinaoneshwa.

Wasanii zaidi ya mia moja wanaonesha kazi zao kutoka sehemu zote za dunia.Watu zaidi ya nusu milioni wanatarajiwa kutembelea maonyesho hayo.