Jeshi la Kongo likiungwa mkono na jeshi la Umoja wa Mataifa, limewashambulia vikali waasi wa kundi la kigaidi ADF, katika eneo la Mughalika wilayani Beni. Hiyo ni kwa mara ya kwanza tangu kutangazwa hali ya dharura katika mikoa ya Kivu ya Kaskazini na Ituri.