Ili kuyatokomeza makundi ya waasi katika wilaya za Beni na Lubero katika mkoa wa Kivu ya kaskazini nchini Kongo, kamanda wa majeshi ya nchi hiyo katika operesheni, Sokola, ya kwanza Brigedia Mbangu Mashita Marcel, ametangaza operesheni kabambe dhidi ya waasi wa kundi la ADF.