Msikilize hapa Yusra Buwayhid akikupa matokeo ya utafiti unaotahadharisha kwamba mitandao ya kijamii inawabagua wanawake kupitia mfumo wa kuchuja taarifa ujulikanao kama 'algorithm' unaotumiwa na Facebook, Twitter na Instagram kuwapa watumiaji wake taarifa zinazowalenga zaidi.