Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo baada ya Uchaguzi
18 Januari 2012Matangazo
Wagombea hao wamependekeza kujadili swala la uhalali wa madaraka kufuatia uchaguzi uliopita wa Novemba 28. Pendekezo hilo limepokelewa kwa shingo upande na chama tawala na hata chama kikuu cha upinzani cha UDPS ambacho kimetaka kwanza kutambuliwa kwa Etienne Tshisekedi kama rais wa Kongo.
Taarifa kamili na mwandishi wetu wa Kinshasa, Saleh Mwanamilongo.
Mwandishi: Ripoti ya Saleh Mwanamilongo
Mhariri: Mohammed Khelef