JAHAZI Asilia yajitosa uchaguzi wa Rais Zanzibar
13 Oktoba 2010Matangazo
Katika mahojiano haya, mtangazaji wetu, Grace Kabogo, anaongea na mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha JAHAZI Asilia, Kassim Bakar, ambaye pamoja na mengine anazungumzia nafasi ya chama chake katika uchaguzi huo.
Mahojiano: Grace Patricia Kabogo/Kassim Bakari
Mhariri: Miraji Othman