1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

J2 16.09.2016 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S16 Septemba 2016

Viongozi wote wakuu wa mataifa wanachama wa Umoja wa Ulaya, kasoro Uingereza, wanakutana mjini Bratislava// Juhudi za kukombolewa kwa madereva 12 wa Malori kutoka nchini Tanzania na Kenya waliotekwa katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo zinaendelea// Kwa muda wa miaka mingi Kenya na Somalia zinavutana juu ya mpaka wa baharini// Hillary Clinton amerejea tena hapo jana katika kampeni.

https://p.dw.com/p/1K3cx