1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

J1 09.02.2017 Matangazo ya asubuhi

TSA / S08S9 Februari 2017

Uturuki inaazimia kuendeleza juhudi zake za kupambana na kundi la kigaidi linalojiita Dola la Kiislamu IS katika ngome yao kuu ya Raqa mji ulioko kaskazini mwa Syria// Ikiwa imesalia miezi sita kabla ya uchaguzi mkuu hapo mwezi Agosti mwaka huu nchini Kenya, Joto la kisiasa linazidi kupanda kwa kiwango cha kutia hofu.

https://p.dw.com/p/2XCrT