Ijumaa Kuu yakumbukwa leo05.04.20075 Aprili 2007https://p.dw.com/p/CHlIPicha ya Yesu akiwa msalabani KalvariPicha: BilderboxMatangazoWaumini wa dini ya kikristo leo wanakumbuka jinsi Yesu Kristo alivyoteswa na hatimaye kusulubiwa msalabani. Sikiliza kipindi maalumu kilkichoandaliwa na Josephat Charo na Isabella Mwagodi