Duru za kisiasa mjini Nairobi zinasema kuwa huenda uchaguzi ukafanyika tarehe 27 mwezi Desemba mwaka huu. Tume ya uchaguzi nchini Kenya imekubaliana na tarehe hiyo ya uchaguzi hata ingawa Rais Mwai Kibaki bado hajalivunja bunge.
https://p.dw.com/p/C7gu
Matangazo
Mwandishi wetu Mwai Gikonyo ana taarifa kamili kutoka Nairobi.